Habari

news image

UKARABATI KIVUKO CHA MV. PANGANI II WAKAMILIKA

Posted on: February 09, 2020

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Eng. Japhet Y. Maselle amekagua kivuko cha MV. PANGANI II baada ya Kukamilika kwa ukarabati wake. Kivuko hicho kimefanyiwa ukarabati mkubwa ikiwemo kubadilishiwa mfumo mpya ........

Soma zaidi
news image

TEMESA YAFANYA KIKAO CHA MAPITIO YA UTENDAJI KAZI KWA NUSU MWAKA 2019/20

Posted on: February 05, 2020

Mameneja wa mikoa na vituo wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wamefanya kikao cha mapitio ya taarifa ya utendaji kazi wa nusu mwaka........

Soma zaidi
news image

KIVUKO CHA MV. ILEMELA CHAFANYIWA MAJARIBIO

Posted on: January 29, 2020

Kivuko kipya cha MV.Ilemela leo kimefanyiwa majaribio na kushuhudiwa na mamia ya wakazi wa Wilaya ya Ilemela akiwemo Mbunge wa jimbo hilo Dkt.Angelina Mabula....

Soma zaidi
news image

KIVUKO KIPYA CHA KAYENZE BEZI (MV.ILEMELA) CHASHUSHWA KWENYE MAJI

Posted on: January 07, 2020

Wakazi wa Ilemela mkoa wa Mwanza leo wameshuhudia kwa mara ya kwanza kivuko kipya cha Kayenze Bezi, MV.Ilemela........

Soma zaidi
news image

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA GAWIO LA BILIONI 1.13 KUTOKA TEMESA

Posted on: November 26, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akipokea mfano wa hundi ya Shilingi Bilioni 1.13 ikiwa ni gawio la Wakala wa Ufundi na Umeme........

Soma zaidi