Habari

news image

MKUU WA MKOA MWANZA AKAGUA UJENZI KIVUKO KIPYA CHA BUGOROLA UKARA

Posted on: October 06, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella leo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa kivuko kipya cha Bugorola Ukara (MV. UKARA II) ambacho ujenzi wake unaendelea katika yadi ya Songoro iliyopo Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza........

Soma zaidi
news image

NIMERIDHISHWA NA UJENZI KIVUKO CHA MAFIA-MAJALIWA

Posted on: October 05, 2020

​Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameridhishwa na ujenzi wa kivuko cha Mafia ambacho kitatoa huduma za usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo kati ya Nyamisati na Mafia.........

Soma zaidi
news image

KIVUKO KIPYA BUGOROLA UKARA MBIONI KUKAMILIKA

Posted on: October 05, 2020

​Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle, Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Ufundi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Lazaro Vazuri........

Soma zaidi
news image

WAJUMBE BODI YA USHAURI TEMESA WAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: October 02, 2020

Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA MAB) wameupongeza Wakala huo kwa kufanya juhudi kubwa kuhakikisha miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020 inatekelezwa na kumalizika kwa wakati........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA AIPONGEZA KAMATI YA UKAGUZI WA MAHESABU

Posted on: September 24, 2020

​Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ameshiriki katika hafla fupi ya kuiaga kamati ya ukaguzi wa mahesabu yaTEMESA ilyopita na kuikaribisha........

Soma zaidi