Habari

news image

Naibu Waziri Ujenzi aitaka TEMESA kutumia mifumo ya Kielektroniki kivukoni

Posted on: April 16, 2019

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandikwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kufanya kazi kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kieletroniki ili........

Soma zaidi
news image

TEMESA YAALIKA WADAU KUJADILI RASIMU YA MUONGOZO WA MATENGENEZO YA MAGARI

Posted on: March 21, 2019

​Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA) umealika wadau kutoka taasisi mbali mbali za Umma na binafsi nchini kujadili Rasimu ya........

Soma zaidi
news image

KATIBU MKUU UJENZI ATEMBELEA TEMESA

Posted on: March 13, 2019

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga ametembelea Makao Makuu ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA)........

Soma zaidi
news image

UJENZI WA KIVUKO KIPYA KAYENZE BEZI WAANZA RASMI

Posted on: March 13, 2019

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA imefanikisha kuanza rasmi kwa ujenzi wa kivuko kipya kitakachotoa huduma kati ya Kayenze na Bezi Wilayani Ilemela mkoani Mwanza. Zoezi la uwekaji msingi wa........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA ZIARANI MIKOA YA IRINGA, NJOMBE, MBEYA, RUKWA NA KATAVI

Posted on: March 13, 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle ameendelea na ziara ya kutembelea mikoa mbalimbali kusikiliza changamoto pamoja na kukagua shughuli za utendaji kazi na safari hii ametembelea mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa na Katavi kukagua........

Soma zaidi