Habari

news image

WAJUMBE BODI YA USHAURI TEMESA WAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: October 02, 2020

Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA MAB) wameupongeza Wakala huo kwa kufanya juhudi kubwa kuhakikisha miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020 inatekelezwa na kumalizika kwa wakati........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA AIPONGEZA KAMATI YA UKAGUZI WA MAHESABU

Posted on: September 24, 2020

​Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ameshiriki katika hafla fupi ya kuiaga kamati ya ukaguzi wa mahesabu yaTEMESA ilyopita na kuikaribisha........

Soma zaidi
news image

KATIBU MKUU MWAKALINGA AIAGIZA TEMESA KUTUNZA NA KUHESHIMU RASILIMALI WATU

Posted on: September 11, 2020

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius A. Mwakalinga ameutaka Wakala huo kutumia Baraza la Wafanyakazi kuhakikisha ...

Soma zaidi
news image

SERIKALI YATENGA BILIONI 9.5 KUIMARISHA KARAKANA ZA TEMESA

Posted on: September 07, 2020

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 9,538,970,000/= katika bajeti ya mwaka wa fedha 2020/2021 kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya karakana kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali (GOT)........

Soma zaidi
news image

WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MAFIA

Posted on: August 14, 2020

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.........

Soma zaidi