Habari
UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI 2020
Posted on: July 20, 2020UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vitatu ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo Profesa Idrissa Mshoro........
Soma zaidiMAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA SABASABA
Posted on: July 03, 2020Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) unashiriki Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa maaarufu Sabasaba….....
Soma zaidiMV. KIGAMBONI YAREJEA MAGOGONI
Posted on: May 30, 2020Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe leo amepokea Kivuko cha MV Kigamboni kilichokuwa kinafanyiwa ukarabati mkubwa katika eneo la Kigamboni jijini Dar es salaam........
Soma zaidi.png)
MTENDAJI MKUU TEMESA APOKEA KIVUKO CHA MV ILEMELA-MWANZA
Posted on: April 19, 2020Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) umepokea Kivuko cha MV Ilemela kilichotengenezwa kwa gharama ya Sh.bilioni 2.7 zilizotolewa na Serikali ya Tanzania........
Soma zaidiVIVUKO TEMESA VYAJIIMARISHA KUZUIA CORONA
Posted on: April 08, 2020Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia Vivuko vyake vyote nchini imeendelea kujidhatiti kwa kuhakikisha hakuna ongezeko la maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (Covid-19)........
Soma zaidi