Habari
SERIKALI YATENGA BILIONI 9.5 KUIMARISHA KARAKANA ZA TEMESA
Posted on: September 07, 2020Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 9,538,970,000/= katika bajeti ya mwaka wa fedha 2020/2021 kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya karakana kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali (GOT)........
Soma zaidiWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MAFIA
Posted on: August 14, 2020WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.........
Soma zaidiMTENDAJI MKUU TEMESA ATEMBELEA BANDA LA WAKALA NANENANE
Posted on: August 08, 2020Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ametembelea banda la Wakala huo katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nyakabindi Wilayani Bariadi mkoa wa Simiyu....
Soma zaidiWAZIRI KAIRUKI NA WAZIRI HASUNGA WATEMBELEA TEMESA NANENANE SIMIYU
Posted on: August 03, 2020Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga leo wametembelea banda la Wakala wa........
Soma zaidiUJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI 2020
Posted on: July 20, 2020UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vitatu ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo Profesa Idrissa Mshoro........
Soma zaidi