Habari

news image

SERIKALI YATENGA BILIONI 9.5 KUIMARISHA KARAKANA ZA TEMESA

Posted on: September 07, 2020

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 9,538,970,000/= katika bajeti ya mwaka wa fedha 2020/2021 kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya karakana kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali (GOT)........

Soma zaidi
news image

WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MAFIA

Posted on: August 14, 2020

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA ATEMBELEA BANDA LA WAKALA NANENANE

Posted on: August 08, 2020

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ametembelea banda la Wakala huo katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nyakabindi Wilayani Bariadi mkoa wa Simiyu....

Soma zaidi
news image

WAZIRI KAIRUKI NA WAZIRI HASUNGA WATEMBELEA TEMESA NANENANE SIMIYU

Posted on: August 03, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga leo wametembelea banda la Wakala wa........

Soma zaidi
news image

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI 2020

Posted on: July 20, 2020

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vitatu ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo Profesa Idrissa Mshoro........

Soma zaidi