Habari

news image

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI 2020

Posted on: July 20, 2020

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vitatu ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo Profesa Idrissa Mshoro........

Soma zaidi
news image

MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA SABASABA

Posted on: July 03, 2020

Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) unashiriki Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa maaarufu Sabasaba….....

Soma zaidi
news image

MV. KIGAMBONI YAREJEA MAGOGONI

Posted on: May 30, 2020

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe leo amepokea Kivuko cha MV Kigamboni kilichokuwa kinafanyiwa ukarabati mkubwa katika eneo la Kigamboni jijini Dar es salaam........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA APOKEA KIVUKO CHA MV ILEMELA-MWANZA

Posted on: April 19, 2020

Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) umepokea Kivuko cha MV Ilemela kilichotengenezwa kwa gharama ya Sh.bilioni 2.7 zilizotolewa na Serikali ya Tanzania........

Soma zaidi
news image

VIVUKO TEMESA VYAJIIMARISHA KUZUIA CORONA

Posted on: April 08, 2020

Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia Vivuko vyake vyote nchini imeendelea kujidhatiti kwa kuhakikisha hakuna ongezeko la maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (Covid-19)........

Soma zaidi