Habari
KATIBU MKUU UJENZI APOKEA KIVUKO CHA MV.PANGANI II BAADA YA KUFANYIWA UKARABATI
Posted on: October 21, 2020Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch.Elius Mwakalinga leo amekipokea rasmi kivuko cha MV.PANGANI II........
Soma zaidiSERIKALI YASHUSHA KIVUKO CHA BILIONI 4.2 UKARA
Posted on: October 19, 2020Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) leo imefanikiwa kurejesha faraja ya wakazi wa visiwa vya Bugorola na Ukara baada ya kuzindua kivuko kipya kilichogharimu shilingi bilioni 4.2, MV.UKARA II (HAPA KAZI TU)........
Soma zaidiKIVUKO CHA MV UKARA II NJIANI KUELEKEA BUGOROLA UKARA
Posted on: October 18, 2020Kivuko kipya cha MV.UKARA II HAPA KAZI TU kimeanza safari ya kuelekea visiwa vya Ukerewe katika maeneo ya Bugorola Ukara kwa ajili ya kuanza kutoa huduma. Kivuko hicho kimeanza safari mapema asubuhi ya leo........
Soma zaidiWAKAZI BUGOROLA - UKARA KIVUKO TAYARI MAJINI
Posted on: October 12, 2020Wakazi wa Bugorola na Ukara wanatarajia kupelekewa kivuko kipya baada ya siku chache zijazo kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa kivuko cha MV. UKARA II HAPA KAZI TU. Kivuko hicho ambacho ujenzi wake umefanywa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport ya jijini Mwanza kwa gharama ya shilingi bilioni 4.2 ........
Soma zaidiKATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO MV.UKARA
Posted on: October 09, 2020Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga leo amefika katika yadi ya Songoro iliyopo Ilemela Mkoani Mwanza kukagua maendeleo ya ujenzi wa kivuko kipya cha MV.UKARA kinachoendelea kujengwa........
Soma zaidi