Habari
MAFANIKIO YA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA WAKALA WA UFUNDI NA UMEME (TEMESA).
Posted on: November 14, 2019Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo amezungumza na waandishi wa habari ambapo amewaeleza mafanikio ya miaka minne ya serikali ya awamu ya tano........
Soma zaidiKIVUKO CHA BILIONI 5.3 KUTUA MAFIA NYAMISATI FEBRUARI MWAKANI
Posted on: October 28, 2019Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Elias Kwandikwa amezindua ujenzi wa kivuko kipya cha Mafia Nyamisati........
Soma zaidi
KWANDIKWA AAGIZA BILIONI 32 ZILIPWE TEMESA
Posted on: October 28, 2019Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Elias Kwandikwa ameziagiza taasisi zote za serikali zinazodaiwa madeni na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) yanayofikia jumla ya shilingi bilioni 32 kuhakikisha........
Soma zaidi
VIVUKO VYA BILIONI 7.3 KUKAMILIKA FEBRUARI MWAKANI
Posted on: October 02, 2019Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko viwili vipya vinavyogharimu jumla ya shilingi bilioni 7.3 ifikapo mwezi Februari mwaka 2020........
Soma zaidi
SERIKALI YATOA BILIONI 66.5 KUTEKELEZA MIRADI TEMESA
Posted on: September 25, 2019Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Katibu Mkuu na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia Mtendaji Mkuu wamesaini mkataba wa utendaji kazi wa Wakala huo ambapo ndani yake ipo miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 66.5 itakayotekelezwa........
Soma zaidi