Habari

news image

NIMERIDHISHWA NA UJENZI KIVUKO CHA MAFIA-MAJALIWA

Posted on: October 05, 2020

​Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameridhishwa na ujenzi wa kivuko cha Mafia ambacho kitatoa huduma za usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo kati ya Nyamisati na Mafia.........

Soma zaidi
news image

KIVUKO KIPYA BUGOROLA UKARA MBIONI KUKAMILIKA

Posted on: October 05, 2020

​Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle, Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Ufundi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Lazaro Vazuri........

Soma zaidi
news image

WAJUMBE BODI YA USHAURI TEMESA WAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: October 02, 2020

Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA MAB) wameupongeza Wakala huo kwa kufanya juhudi kubwa kuhakikisha miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020 inatekelezwa na kumalizika kwa wakati........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA AIPONGEZA KAMATI YA UKAGUZI WA MAHESABU

Posted on: September 24, 2020

​Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ameshiriki katika hafla fupi ya kuiaga kamati ya ukaguzi wa mahesabu yaTEMESA ilyopita na kuikaribisha........

Soma zaidi
news image

KATIBU MKUU MWAKALINGA AIAGIZA TEMESA KUTUNZA NA KUHESHIMU RASILIMALI WATU

Posted on: September 11, 2020

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius A. Mwakalinga ameutaka Wakala huo kutumia Baraza la Wafanyakazi kuhakikisha ...

Soma zaidi