MENEJIMENTI YA WAKALA

1. Mr. Kheri A. Mahimbali - Mtendaji Mkuu

2. Mr. Moses R. Mabamba- Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu

3. Mhandisi. Hassan H. Karonda - Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi

4. Mhandisi. Lukombe M. King'ombe - Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji na Ujenzi wa Vivuko

5. Bwana. Edgar E. Rutakyamilwa- Kaimu Meneja Kitengo cha Tathmini na Ufuatiliaji

6. Mhandisi Renatus C. Mbogolo - Kaimu Meneja Ufundi na Ukodishaji Mitambo

7. Bwana. Stanley R. Mulibo - Meneja Utawala

8. Bi. Josephine P. Lewanga - Kaimu Meneja Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi na Ugavi

9. Bwana. Nelson Rwechungura- Meneja Rasilimali Watu

10. Mhandisi Samwel T. Chibwana - Kaimu Meneja wa Uendeshaji na Usalama wa Vivuko

11. Mhandisi. Peter A. Bongole - Meneja Kitengo cha Huduma za Ushauri

12. Mhandisi. Aurelia P. Ngopa - Meneja Umeme na Elektroniki

13. Wakili. Ntanda L. Nashoni - Kaimu Meneja Kitengo cha Huduma za Sheria

14. Bi. Martha K. Joachim - Kaimu Meneja Kitengo cha Masoko na Uhusiano kwa Umma

15. Bwana. Eric D. Ochaka- Meneja Kitengo cha TEHAMA

16. Bwana. Christian Makawa- Kaimu Mhasibu Mkuu

17. Bwana. Noel E. Marobe - Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

18. Bwana. Jackson R. Matandu - Kaimu Meneja Kitengo cha Mipango, Tafiti na Ubunifu

19. Mhandisi. Faustine K. Malunde- Kaimu Meneja wa Ujenzi na Matengenezo ya Vivuko