Habari

KWANDIKWA AAGIZA BILIONI 32 ZILIPWE TEMESA
Posted on: October 28, 2019Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Elias Kwandikwa ameziagiza taasisi zote za serikali zinazodaiwa madeni na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) yanayofikia jumla ya shilingi bilioni 32 kuhakikisha........
Soma zaidi
VIVUKO VYA BILIONI 7.3 KUKAMILIKA FEBRUARI MWAKANI
Posted on: October 02, 2019Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko viwili vipya vinavyogharimu jumla ya shilingi bilioni 7.3 ifikapo mwezi Februari mwaka 2020........
Soma zaidi
SERIKALI YATOA BILIONI 66.5 KUTEKELEZA MIRADI TEMESA
Posted on: September 25, 2019Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Katibu Mkuu na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia Mtendaji Mkuu wamesaini mkataba wa utendaji kazi wa Wakala huo ambapo ndani yake ipo miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 66.5 itakayotekelezwa........
Soma zaidiMWENYEKITI BODI YA USHAURI AZURU TEMESA
Posted on: September 24, 2019Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Profesa Eng. Iddris Bilali Mshoro amezuru........
Soma zaidi
SERIKALI YAZINDUA UJENZI WA VIVUKO VIPYA VYA BUGOROLA-UKARA, CHATO-NKOME
Posted on: August 27, 2019SERIKALI imezindua rasmi ujenzi wa vivuko vipya viwili vya kisasa vitakavyotoa huduma ya kusafirisha abiria, mizigo na magari kati ya Bugorola-Ukara Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza na Chato-Nkome Wilaya ya Chato mkoani........
Soma zaidi