Habari
TEMESA TANGA YAALIKA WADAU KUSIKILIZA KERO ZAO
Posted on: July 11, 2019Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) mkoa wa Tanga jana umealika wadau wanaotumia huduma zake ili kujadilli na kupata mrejesho kuhusu namna........
Soma zaidiUKARABATI WA KIVUKO CHA MV. PANGANI II MBIONI KUKAMILIKA
Posted on: July 04, 2019Kivuko cha MV. Pangani II ambacho awali kilikua kikijulikana kama MV. Utete kinatarajiwa kukamilika hivi karibuni na kuanza kutoa huduma katika mto Pangani kati ya Pangani na Bweni mkoani Tanga. Kivuko hicho ambacho ...
Soma zaidiTEMESA SINGIDA YAAGIZWA KUTUMIA VIZURI RASILIMALI WATU
Posted on: June 13, 2019Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle mwishoni mwa wiki hii ametembelea karakana ya Wakala huo mkoa wa Singida na kumuagiza kaimu meneja kujitahidi kutumia vizuri rasilimali watu........
Soma zaidiMTENDAJI MKUU TEMESA ATEMBELEA NA KUKAGUA KARAKANA MPYA IFAKARA
Posted on: June 11, 2019Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle ametembelea na kukagua karakana mpya ya TEMESA iliyopo katika Halmashauri ya mji wa Ifakara wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Karakana hiyo ambayo imefunguliwa Juni mosi mwaka huu........
Soma zaidiMAMENEJA TEMESA WAHIMIZWA KUBORESHA UTENDAJI KAZI WA KARAKANA
Posted on: May 24, 2019Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle amewataka mameneja wa Wakala huo wa mikoa yote nchini kuboresha utendaji kazi wa karakana za mikoa wanayoisimamia kwa kujifunza na........
Soma zaidi