Habari

news image

MTENDAJI MKUU TEMESA ATEMBELEA NA KUKAGUA KARAKANA MPYA IFAKARA

Posted on: June 11, 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle ametembelea na kukagua karakana mpya ya TEMESA iliyopo katika Halmashauri ya mji wa Ifakara wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Karakana hiyo ambayo imefunguliwa Juni mosi mwaka huu........

Soma zaidi
news image

MAMENEJA TEMESA WAHIMIZWA KUBORESHA UTENDAJI KAZI WA KARAKANA

Posted on: May 24, 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle amewataka mameneja wa Wakala huo wa mikoa yote nchini kuboresha utendaji kazi wa karakana za mikoa wanayoisimamia kwa kujifunza na........

Soma zaidi
news image

TEMESA YAFUNGA TAA KUZUNGUKA UKUTA WA MACHIMBO YA MERERANI

Posted on: April 29, 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle pamoja na mameneja wa mikoa mitatu wamekagua kazi ya ufungaji wa taa katika........

Soma zaidi
news image

Naibu Waziri Ujenzi aitaka TEMESA kutumia mifumo ya Kielektroniki kivukoni

Posted on: April 16, 2019

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandikwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kufanya kazi kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kieletroniki ili........

Soma zaidi
news image

TEMESA YAALIKA WADAU KUJADILI RASIMU YA MUONGOZO WA MATENGENEZO YA MAGARI

Posted on: March 21, 2019

​Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA) umealika wadau kutoka taasisi mbali mbali za Umma na binafsi nchini kujadili Rasimu ya........

Soma zaidi