Habari

news image

WAZIRI KAMWELWE AWAFUNDA MAMENEJA TEMESA

Posted on: March 13, 2020

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe leo amefanya kikao na menejimenti ya TEMESA pamoja na mameneja wa Mikoa na vituo wa Wakala huo ambapo amewataka kuhakikisha wanajiimarisha ili........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA AKABIDHI MTAMBO KWA CHUO CHA UJENZI MOROGORO

Posted on: February 18, 2020

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle amekabidhi mtambo kwa Chuo cha Ujenzi Morogoro (MWTI), mtambo huo ambao........

Soma zaidi
news image

UKARABATI KIVUKO CHA MV. PANGANI II WAKAMILIKA

Posted on: February 09, 2020

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Eng. Japhet Y. Maselle amekagua kivuko cha MV. PANGANI II baada ya Kukamilika kwa ukarabati wake. Kivuko hicho kimefanyiwa ukarabati mkubwa ikiwemo kubadilishiwa mfumo mpya ........

Soma zaidi
news image

TEMESA YAFANYA KIKAO CHA MAPITIO YA UTENDAJI KAZI KWA NUSU MWAKA 2019/20

Posted on: February 05, 2020

Mameneja wa mikoa na vituo wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wamefanya kikao cha mapitio ya taarifa ya utendaji kazi wa nusu mwaka........

Soma zaidi
news image

KIVUKO CHA MV. ILEMELA CHAFANYIWA MAJARIBIO

Posted on: January 29, 2020

Kivuko kipya cha MV.Ilemela leo kimefanyiwa majaribio na kushuhudiwa na mamia ya wakazi wa Wilaya ya Ilemela akiwemo Mbunge wa jimbo hilo Dkt.Angelina Mabula....

Soma zaidi