Habari

news image

WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MAFIA

Posted on: August 14, 2020

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.........

Soma zaidi
news image

MTENDAJI MKUU TEMESA ATEMBELEA BANDA LA WAKALA NANENANE

Posted on: August 08, 2020

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Maselle leo ametembelea banda la Wakala huo katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nyakabindi Wilayani Bariadi mkoa wa Simiyu....

Soma zaidi
news image

WAZIRI KAIRUKI NA WAZIRI HASUNGA WATEMBELEA TEMESA NANENANE SIMIYU

Posted on: August 03, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga leo wametembelea banda la Wakala wa........

Soma zaidi
news image

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI 2020

Posted on: July 20, 2020

UJENZI WA VIVUKO VIPYA VITATU KUKAMILIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inatarajiwa kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vitatu ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo Profesa Idrissa Mshoro........

Soma zaidi
news image

MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA SABASABA

Posted on: July 03, 2020

Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) unashiriki Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa maaarufu Sabasaba….....

Soma zaidi