Habari
ZIARA YA KAIMU MTENDAJI MKUU KANDA YA ZIWA
Posted on: November 07, 2018Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle leo ameendelea na ziara yake ya kutembelea karakana za mikoa na kukagua usalama wa vivuko pamoja na........
Soma zaidiUKARABATI KIVUKO CHA MV. CHATO WAKAMILIKA
Posted on: November 05, 2018Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle leo amekagua kivuko cha MV. Chato ambacho ukarabati wake umemalizika hivi karibuni........
Soma zaidi
SERIKALI YASIMIKA TAA ZA KUONGOZEA MAGARI MANISPAA YA MOROGORO
Posted on: October 03, 2018Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA) kikosi cha Umeme, imefanikisha mradi wa kufunga taa za kuongozea magari (Traffic lights) katika Manispaa ya Morogoro. Taa hizo za kisasa ambazo zinatumia nishati ya jua.............
Soma zaidi
MAADHIMISHO YA WIKI YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI KITAIFA DODOMA YAMALIZIKA
Posted on: September 02, 2018Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Thobias Andengenye.......
Soma zaidi
TEMESA KUSIMIKA TAA ZA BARABARANI KISIWANI ZANZIBAR
Posted on: August 27, 2018Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Bw. Mustafa Aboud Jumbe na kaimu Meneja wa Kikosi cha Umeme kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Pongeza Semakuwa wametia saini mkataba wa mradi wa.......
Soma zaidi