TEMESA YAFANYA KIKAO CHA MAPITIO YA UTENDAJI KAZI KWA NUSU MWAKA 2019/20
Posted On: February 05, 2020
Mameneja wa mikoa na vituo wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wamefanya kikao cha mapitio ya taarifa ya utendaji kazi wa nusu mwaka kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha mapema leo.