HISTORIA FUPI YA UTOAJI WA HUDUMA YA VIVUKO KIGONGO BUSISI
Posted On: June 23, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akieleza Historia fupi ya utoaji wa huduma ya kivuko katika eneo kati ya Kigongo Wilayani Misungwi na Busisi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza. Rais Samia amefungua Daraja la J.P. MAGUFULI lenye urefu wa kilometa 3 na barabara unganishi kilometa 1.6 Juni 19, 2025.Daraja hilo linaunganisha Mikoa ya Kanda ya Ziwa na nchi jirani na litarahisisha usafiri na usafirishaji kwa Mikoa hiyo na nchi jirani.
Kutokana na kufunguliwa kwa daraja hilo, vivuko vitatu vya TEMESA, MV. MISUNGWI, MV. SENGEREMA na MV. MWANZA sasa vitahamishwa na kupelekwa maeneo mengine yenye uhitaji wa vivuko ili kuendelea kutoa huduma
HISTORIA YA KITUO CHA KIGONGO BUSISI
2.1 Mnamo:Mwaka 1968
Aidha kabla ya hapo kulikuwa vivuko vya watu binafsi vilivyo kuwa vikitoa huduma eneo hilo ambapo kivuko cha kwanza cha umma(serikali) kwa kuanzia mwaka 1968kilikuwa
2.2 Mnamo:Mwaka 1971
Serikali ilinunua kivuko kilicho fahamika kwa jina la MV MwanzaKilichokuwa na uwezo wa kubeba Tani 20sawa na magari madogo 3-4 kulingana na ukubwa,na Abiria 50 kivuko hicho kwa sasa ni Chakavu.
2.3 Mnamo:Mwaka 1972,
Serikali iliongeza kivuko kingine kilichojulikana kwa jina la Geita Feri. Kilikuwa na uwaezo wa Tani 65 ambayo kilikuwa na uwezo wakubeba magari 3 na abiria 100 ambacho kwa sasa kinafahamika kwa jina la MV TEMESA kinahudumia katika kituo cha ILUNDA na LUCHELELE mkoani Mwanza.Ambacho pia kilikuwa kinabebaTani 65magariMatano (5) Abiria 100.
2.4 Mnamo:Mwaka: 1977
Serikali ilinunua kivuko kingine amabacho kilifahamika kwa jina la MV Sabasabachenye uwezo wa
2.5 Mnamo:Mwaka 1985
Serikali ilinunua kivuko kingine kinachoitwa MV Sengeremaambac
2.6 Mnamo:Mwaka 2008:
Serikali ilijenga kivuko kinachoitwa MV Misungwiambacho
2.7 Mnamo:Mwaka 2018
Serikali ilijenga kivuko kinachoitwa Mv. Mwanza(Mwanza Hapa Kazi Tu)chenye uwezo wa kubeba Abiria 1000 na Magari 34 na kwa sasa kipo kinaendelea na utoaji wa huduma kwa wananchi.