Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA)
"Huduma Bora kwa Fursa za Maendeleo"
Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA)
ULEGA AKEMEA UBABAISHAJI NA RUSHWA
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akizungumza jambo kwa Mameneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kutoka Mikoa yote nchini alipokutana nao katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma.