MTENDAJI MKUU MPYA TEMESA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Bi. Monica A. Moshi, leo amekabidhiwa rasmi ofisi na vitendea kazi vyote kutoka kwa Mtendaji Mkuu aliyemaliza muda wake Mhandisi Japhet Y. Maselle katika ofisi za makao makuu ya Wakala wa Ufundi na Umeme nchini yaliyopo mjini Dodoma.